Mbeya Zonal Referral Hospital Saccoss
Tunatoa mikopo yenye riba nafuu kwa wanachama.
NMB, CRDB, NBC, Mpesa, Tigopesa, Airtel money, T Pesa na Halopesa.
Tunatoa elimu ya matumizi ya fedha na uwekezaji kwa wanachama.
Fika ofisi zetu zilizopo katika Hospitali ya rufaa ya Kanda Mbeya (MZRH) tukuhumie.
Pata mkopo wa maendeleo hadi TZS 40,000,000 utakaorejeshwa kwa muda wa hadi miezi 36. Riba ya mkopo ni aslimia 1.5.
Pata mkopo wa dharura hadi TZS 400,000 utakaorejeshwa kwa muda wa hadi miezi 3. Riba ya mkopo ni aslimia 5.
Pata mkopo wa sikukuu hadi TZS 100,000 utakaorejeshwa kwa muda wa hadi miezi 1. Riba ya mkopo ni aslimia 5.
Chama cha Ushirika wa Akiba na Mikopo cha New MZRH kilianzishwa Mwaka 2018 kikiwa na Wanachama 200.
Makao makuu ya Ushirika huu ni Hospitali ya Kanda ya Rufaa Mbeya ambayo inapatikana katika jiji la Mbeya.
Tunatoa huduma za kifedha kwa Bank ya NBC. Kutoa na kuweka fedha.
Tunatoa huduma za kifedha kwa Bank ya NMB. Kutoa na kuweka fedha.
Tunatoa huduma za kifedha kwa Bank ya CRDB. Kutoa na kuweka fedha.
Tunatoa huduma za kifedha kwa Bank ya TPB. Kutoa na kuweka fedha.
Tunatoa huduma za kifedha kwa Bank ya Equity. Kutoa na kuweka fedha.
Tunatoa huduma za kifedha kwa M-PESA. Kutoa na kuweka fedha.
Tunatoa huduma za kifedha kwa Airtel money. Kutoa na kuweka fedha.
Tunatoa huduma za kifedha kwa Tigopesa. Kutoa na kuweka fedha.